Notifications
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…
  • MY DIARY (11)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MOJATULIPOISHIA...Wakati akiongea maneno hayo mara mtarimbo ukaanza kusimama nikajisemeha nimeshakosea nilitakiwa niondoke nilivyoona kimelele tu, nikajua hapo lazima atanitafuuna bila huruma. Basi akaingia bafuni akachukua sabuni akajipaka ili kujisisimua ngoma isimame vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yaaani nilichanganyikiwa na huko bafuni nilisikia maneno ambayo yalinichekesha…
  • MY DIARY (10)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMITULIPOISHIA...Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii. Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata…
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…

MUUZA CHIPS (86)

Mwandishi: MoonBoy

SEHEMU YA THEMANINI NA SITA
ILIPOISHIA...
"hhhhhmmm apo sawa"

Sasa tukija huku kwa akijana chidi na miriam, ukumbuke walikuwa katika levo zingine zenye msisimko wa ajabu…

Midomo miwili kati yao ilikuwa ikipishana katika ustadi ulio tulivu,.. Miriam alikuwa ana kitovu cha kishimo kilichomfanya chidi apagawe kwa kukiona,

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
"iiiiiiiii mamuuu, kumbe una kitovu shimo"

Aliongea chidi huku akiingiza kidole katika kitovu hicho

"buana chidi, uuuuwiiii… Aahhh… Ahhh"

Miriam alikisikia kidole hicho kikimtekenya haswa, chidi aliona kidole hakitoshi, alichomeka ulimi kabisa kwenye kitovu hicho, kitu kilichomfanya miriam amshike chidi kichwa kwa utamu aliokuwa akiupa,… Sasa chidi alikiwa anakinyonya kitovu hicho, ukumbuke miriam alikuwa bado hajavua chupi, chidi kuona chupi ya miriam ikiwa imemkaa vizuri yaani ilikuwa inatia msisimko zaidi katika mwili wa chidi,.. Mana chidi hisia zake zinazidi kupanda kwa kasi pale anapoona chupi, hata kama haijavaliwa kikubwa iwe ya kike tu, yaani anapandisha mzuka fasta na huenda akabaka mtu kwa kuona nguo hio… Chidi alipoikagua ile chupi ya miriam ilikuwa nzito haswa kana kwamba mtoto kazidiwa mpaka kapizi magoli ya kutosha, alishindwa kujizuia tena ukizingatia hajawahi kufanya kitendo hicho hivyo alikuwa ana mzigo wa kutosha…

Chidi aliivua ile chupi na kuitupa pembeni, mungu wangu, nanii ya miriam ilikuwa ndogooooo,.. Kauwanja kalikuwa kama ka kiarabu vile,.. Chidi anazidi kupagawa na mtoto wa kike,.. Na hapo njia ilishalainika mpaka basi, chidi alitamani kumnyonya lakini miriam alikataa, kana kwamba kachoka mpaka hatamani hata kuguswa na kidole wala ulimi, yaani hapo anataka zakaria ifanye kazi yake,… Kijana huyo alikuwa bado ana boxee mwili japo ilikuwa ikimbana kutokana na zakaria yake kuvimba,.. Miriam aliifanya kazi ya kumvua mpenzi wake ile boxer

"uuuuwiiii"

Ilikuwa ni kelele ya miriam baada ya kukutana na zakaria ilionyooka mpaka mishipa imetokelezea kwa juu,

Miriam alisita kuivua ile boxer, ma alichokiona mpaka kafumba macho…

"nini na wewe"

Chidi alimuuliza miriam, na wakati huo miriam kaweka mikono machoni kwa kujificha eti asione tena,

"babuuuuuuu, ivi naota au"

"nini kwani"

"iv hio kitu unaingiza kwa nani"

Miriam alikuwa akihoji huku akiiangalia kwa wizi wizi, kana kwamba anaitamani sana lakini ataiweza,.. Chidi alimalizia kuvua hio boxer yake kisha akamfuata miriam na kumlaza kitandani

"uuuuwiiii babuu"

"nini mamuuu"

Miriam alianza kuyabana mapaja yake kana kwamba alikuwa kama hataki, lakini kwa chidi, ilishindikana kubana kwa muda mrefu… Chidi alimueka sawa mtoto wa watu kisha akaanza shughuli yake

"uuuuuuuuuuu subiri kwanza jamani babuu"

Miriam alikuwa muoga sana, kwani ndio mara yake ya kwanza kuingilowa kimwili hivyo mlango ulikuwa ni Mdogo kiasi flani hivi…

Miriam alimruhusu chidi aendelee na kazi yake lakini wakati huo miriam kaishika zakaria ya chidi ili isije ikateleza sana,

"achia basi jamani mamuu"

"No, siwezi kuachia… Huna hata huruma babuu"

Chidi alihisi huo ni uoga wa miriam hivyo alimweka sawa, na kuanza tena

"uuuuuuuuuuuwwwwiiiiiii… Ngoja kwanza"

Chidi alichoka na kelele za miriam hivyo anataka kufanya hata kwa nguvu, mana mwanamke bikra hua ndivyo alivyo,.. Chidi alimkusanya miriam kwa nguvu kiasha akakaa kumi na nane zake

"No, No, babuu… Sitaki kuona damu babuu, niache"

"mamuu upoje lakini"

"babuuu.. Hata mimi ni binaadamu, naumia eti"

"haya basi hebu turudie cha mwisho"

"No, wacha nipumzike kwanza"

Chidi alikasirika sana mana wakati huo miriam alikuwa kashuka kitandani kabisa, chidi alijibwaga zake kitandani na kuuchapa usingizi,… Alimwacha miriam akiwa kaketi kitandani…

ASUBUHI MIDA YA SAA MBILI HIVI

Chidi akiwa tayari kesha amka huku akijiandaa kwenda kazini, na wakati huo miriam bado kalala,… Yaani chidi akimuangalia miriam hana hata hamu nae kwa kukataa kutoa bikra yake,…

Chidi alichukuwa chai na kuendelea kupasha tumbo mana chai hio ilipikwa jana na miriam, na ilikuwa katika Chupa,. Sasa miriam anazinduka usingizini anamkuta chidi ndio anamalizia kunywa chai na yupo tayari kwenda kazini

"babuu mambo"

"staki"

Chidi alikasirika sana kwa kukataliwa kuitoa bikra ya miriam,

"kuna nini tena babuu mbona umebadirika ghafla"

"jiandae twende"

"wapi… Kama ni kazi huna"

Aliongea miriam huku akimwangalia chidi, na wakati huo miriam alikuwa uchi wa mnyama na hata chidi hakuwa akimtamani tena mana anajua tu hatofanikiwa.. Miriam ni mschana muoga sana katika mapenzi

"sina kazi… Notes ya kazi nani kanipa"

"babuu mama kasema huna kazi tena"

"kwani nimefanya kosa gani mimi.. Ebu vaa nguo twende"

"mi siendi popote,.."

Sasa chidi ndio kafungua simu yake, namba ya kwanza kupiga ilikuwa ni namba ya boss, ambaye ni mama miriam, aliipokea haraka, mana hajui kitu kinachoendelea

"haloo boss"

"eee haloo omari, upo wapi huku chipsi hakuna mpikaji mbona unachelewa leo"

Chidi alishangaa kuskia leo anaitwa na boss na ni kitu ambacho hakijawahi kutokea

"boss nakuja sasa hivi boss nipo njiani sema jamu kubwa boss"

"wahai basi, wateja wataondoka"

"sawa boss nakuja"

Hata chidi leo alishangaa kupigiwa simu na boss, na siku zote anapigiwa na miriam tu sasa leo kapiga boss mwenyewe,…

Sasa simu ilipokatika miriam kaja juu huku akiwa hana hata nguo moja

"we ni mama huyo si ndio eee"

"ndio… Hupo kazini na ndio mana mama yako kapiga"

Chidi alimwambia miriam hivyo huku miriam akiwa na wasiwasi juu ya wito huo

"babuu… Nakuomba sana, usiende"

Aliongea miriam kitu kilichomfanya chidi ashangae mno, yaani leo miriam yupo tayari chidi akatae kauli ya mama yake

"unasemaje wewe"

"usiende.. Huo ni mtego"

Chidi alizidi kushangaa mana hajui kinachoendelea,

"mtego gani"

"babuuu, mama alisema we usiende tena kazini"

"kwa kosa gani,.. Kwani mi si nilikuwa hospitalini kwa mke wa kaka yangu amejifungua"

"sawa, ila mama kasema kwa wewe kazi basi"

"afu mamuu mi spendi utani wako wa kijinga huo, hebu vaa twende"

Chidi alikuwa anahisi ni utani, na pia hajui miriam kwanini kaja kwake toka jana afu ni mzito kutoka,

"babuu,.. Nakupenda sana babuu, na mimi ndio chanzo"

Sasa chidi akaona mbona kama inaenda kuwa siriasi hivi..

"we mamuu, hebu sema vizuri, kuna nini huko kazini"

Aliuliza kijana chidi, huku akikaa kitandani…

"babuu, naomba nikuambie ukweli…. Mimi…. Mimi…. nimenanii"

Miriam alikuwa akiongea kwa kusita sita mana anajua fika neno atakaloongea haliwezi kukubalika mbele ya chidi..

"nini sasa… Umefanyeje, au umekula pesa ya hoteli"

"bora ningekula pesa ya hoteli"

Aliongea miriam huku na yeye akikaa kitandani na kumshika chidi bega, na wakati huo miriam hajavaa hata nguo moja.. Sasa kamshika chidi katika bega ili hata akimwambia, asiruke sana

"haya… Umefanya nini"

Chidi alianza kuhisi kuna uhatari baina ya miriam na mama yake… Lakini hizo ni hisia za chidi..

"babuuu….. Mimi staki kwenda Uingereza.. Hivyo nimetoroka nyumbani, na staki kurudi tena,… Nataka niishi na wewe"

Heeeeeeeeeeeeeeeeee Chidi alitoa macho kama mbwa mwizi, mana chidi hakuna kitu anachokipenda kama kuishi kwa amani, sasa kwa taarifa hii ataishi vipi na miriam….

SONGA NAYO…….

Katika maisha ya kila siku, kumbuka kuna mahusiano ndani yake, ila ni asilimia chache sana mtoto wa kitajiri kumpenda mtoto wa kimaskini, labda iwe kwa mwanaume kidogo haina shida lakini mtoto wa kike wa kitajiri kuolewa na maskini, ni asilimia chache sana tena sanaaaaaaa….

Chidi aliingia katika shida na balaa kubwa baada ya kupendana na mtoto wa kitajiri ambaye ni miriam, na wazazi wake hawataki kabisa binti yao aweze kuishi na kijana huyo, chidi anampenda sana binti huyo lakini tatizo lipo kwa wazazi wake kutotaka mahusiano nae,…

Miriam ni mschana mzuri tena ni zaidi ya wazuri mana hana kiungo cha kizungu hata kimoja na hatumiagi SKALA wa PODA ni yeye na mafuta yake ya mgando na mengine yasio na kemikali, hivyo hatumii mafuta yenye michubuo ya ngozi, sasa chidi anajikuta anaingia katika balaa zito baada ya kusikia miriam alitoroka kwao na kuja kwa chidi

"haya… Umefanya nini"

Chidi alianza kuhisi kuna uhatari baina ya miriam na mama yake… Lakini hizo ni hisia za chidi..

"babuuu….. Mimi staki kwenda Uingereza.. Hivyo nimetoroka nyumbani, na staki kurudi tena,… Nataka niishi na wewe"

Heeeeeeeeeeeeeeeeee Chidi alitoa macho kama mbwa mwizi, mana chidi hakuna kitu anachokipenda kama kuishi kwa amani, sasa kwa taarifa hii ataishi vipi na miriam….

"unasemaje wewe"

Chidi aliuliza huku aishangaa na kukaa vizuri kitandani, mana ilikuwa ni taarifa mbaya na ya kushtukiza mno

"nimetoroka kwetu kwa ajilo yako"

Chidi kuskia hivyo hata nguvu zilimuishia na kubaki kimya mana haamini kama jela ileeee au kifo kileeee, mana hatari kubwa mno kwa kuwa na miriam tena kwa kutoroka, hakika sidhani kama kijana huyo atapona kwa mazingira ya mpenzi wake huyo..

"ivi nani kakushauri ufanye hivyo"

"heeeee kwani kukupenda nimefanya makosa,.. Kama hunipendi nifukuze na kama unanipenda niache niishi na wewe"

Alionge miriam huku akitafuta chupi yake avae

Chidi aliona kama kuna utani hapa mana haamini kama ni kweli miriam katoroka kwako

Chidi hakutaka kumfokea mpenzi wake na aliamini kweli ni upendo, mana kama kathubutu kuacha mali, pesa zao zote na kuja kwa kijana kapurwa kama chidi tena furaha juu kama masihara vile,…

"ivi nikuulize kitu"

"mie tena… Uliza"

"ivi jela na kifo kipi kizuri"

"I think Jela ni nzuri kuliko kifo"

"Eti eeeee"

"ndio"

Chidi alishikwa na hasira na kutaka kuondoka, lakini miriam alimkimbilia vile vile akiwa bado hana hata nguo,.

"babuu jamani sasa unaenda wapi… Hebu njoo kwanza"

Chidi alisimama ili kumsikiliza mpenzi wake japo kuna moto mbele,..

"nini"

"sikiliza… Nakuomba sana kazini usiende.. Afu chupi yangu imeloa mi siwezi kuivaa tena afu nguo sina,.. Chukuwa hii ATM CARD yangu kaninunulie nguo… Nadhani namba za siri unazijua, nenda babaaa"

"sasa si ukavae nguo kwanza"

"aahhh mi kuvaa gauni bila chupi sijiskii vizuri"

"sasa halima akiamka akikukuta hivyo inakuwaje"

"basi ngoja nikavae boxer yako"

"shida yako uichane si ndio ee"

"heeeee naichana na nini"

"kwahio mpaka hapo ushanifanya nami nina hispsi kama zako si ndio"

"bwana we nenda,.. Ngoja nivae hiii"

Yaani chidi bado haamini kama hii ishu inakuwa kweli kama jinsi ilivyo, na hakuwa na budi kukubaliana navyo,.. yaani chidi kila akitembea anahisi jela ipo mbele…. Hapo alipo mkononi ana ATM CARD ya miriam, anaijua hii akaunti ina pesa nyingi sana, yaani ina kama milioni 600 hivi, mana anakumbuka siku ya mwisho alipewa hii kadi ili akatoe pesa ya kutuma nyumbani baada ya kusikika wazazi wake wanaumwa, lakini hakuwa yeye ila bingo lilimdondokea siku ile…

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
51 Muuza Chips Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni