Notifications
  • MY DIARY (24)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NNETULIPOISHIA...Kwa kweli siku hiyo niliwaza sana na kutafakri vitu vingi. Wale wanachuo wenzangu wamenambia kuwa Msouth alikuwa kwa kimada mwingine na japo stori haikumalizikia ila ukweli ni kwamba alifumaniwa na kupigwa vibaya na huenda walimtupa mahali na ndio maana chanzo cha kifo chake hakieleweki.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijaribu kuijikontrol ili nisiwaze kitu…
  • MY DIARY (23)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TATUTULIPOISHIA...Alinisihi sana nisitoe niilee na yeye atatoa huduma zote lakini tuendelee kufanya siri ili tusije tukahatarisha ndoa yake na kusababisha familia yake kuyumba. Kwa kweli sikuweza maana ilikuwa ni kujipa tabu mimi na huyo mtoto atakayezaliwa. Bora ataa ingekuwa ni mimba ya ule mwalimu ambaye hajaoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilitamani nimchomekee hiyo mimba…
  • MY DIARY (22)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILITULIPOISHIA...Alitumia vizuri umbo lake la kimiss kutembea kimiss na kuweka mapozi ya maana. Na baada hapo alilala kwenye kile kigodoro na akachojoa vyote isipokuwa kufuli jeupe ambalo nalo alipewa hapo hapo kwa ajili ya kazi hiyo. IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi sikumpa nafasi Joyce niliingilia nafasi yake na kuchukua ule uume wa bandia nikamfuta yule dada.…
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…

JICHO LA TATU (6)


SEHEMU YA SITA
TULIPOISHIA...
wale vijana wawili wakaja haraka...wakaanza kutoa ngozi moja moja.....lakini kijana mmoja akasema kwa lugha yao akimwambia yule yule kijana aliyewaita,,akimaanisha,,"utakuwa umeona vibaya hakuna mtu hapa.....wakarudisha haraka ngozi hizo.....kwa kuzipanga.

walipomaliza wakazipiga hatua kutoka nje ya chumba hicho.......

KAMA UNASOMA SIMULIZI HII NJE YA APPLICATION YA CnZ Media INSTALL ILI USIPITWE NA MIENDELEZO

SASA TUENDELEE...
Vida aliendelea kujificha lakini uzalendo ukamshinda kutokana na joto na harufu kali ya ngozi hizo za wanyama pia alianza kukosa pumzi..akakurupuka akanyanyuka huku akikohoa kwa nguvu....

sauti ya Vida ikasikika...vyema kila mtu aliweza kusikia sauti ya vida akikohoa.....

wakarudi haraka ndani ya chumba kile..wakamkuta Vida wakamsisitiza atoke aende kwa baba yake anamaongezi nae.....

hawakuweza kumgusa wala kumkamata Vida..kwa sababu ni mwiko kumgusa binti wa Mtemi...isipokuwa Mwanaume atakae kuwa Mume wake.....Vida akatoka ndani ya chumba hicho,, akazipiga hatua kuelekea kwa baba yake huku akilindwa kwaulinzi mkali......

Yule mkuu wa vijana hao akaingia ndani ya nyumba hiyo akamfuata Makala..akamtazama kwa macho ya huruma kisha akamuingelesha makala kwa lugha yao akimaanisha,,"Nasikitika sana kwa sababu unamasaa machache ya kuishi,,,alipomaliza kuongea hivyo akaondoka zake akimuacha Makala bado kaketi..lakini kitu kilichomshangaza zaidi Makala,,,alipomuona mkuu wa vijana wa kikololo akifunga mlango huo kwa nje.......Makala alistuka akajaribu kukumbuka Hayo maneno yanamaana gani? kwa sababu alishawahi kusoma historia ya jamii hiyo katika kitabu...hivyo alikuwa anaelewa baadhi ya maneno ua lugha hiyo.....ghafla akastuka akanyanyuka haraka..baada ya kukumbuka maana ya manenk hayo kwa kiswahili..macho yakamtoka akaingiwa na hofu kubwa kupita kiasi,,mapigo yake ya moyo yakaanza kupiga kwa kasi huku jasho linamtoka...akajisemea moyoni,,"Inamaana nitakufa!!!!????

*****************

upande mwingine alionekana Subi(mke wa Mtemi)

akijilaza kwenye kitanda kilichotengenezwa kwa miti kikiwa kimetandikwa kwa manyoya mengi ya ndege....na upande wa juu zikatandikwa ngozi mbili za mnyama simba.. Subi alikuwa akisubiri mumewe amalize kufanya matambiko ili amueze kile alichokuwa anakifanya binti yake wa pekee..

akajikuta amepitiwa na usingizi akasinzia kabisa bila kuongea chochote na mumewe..(Mtemi)

wakati huo alionekana Vida akiingia ndani ya nyumba...akamkuta baba yake(Mtemi) ameketi kwenye kiti baada ya kumaliza kufanya matambiko....Mtemi akasema,,kwa lugha yao akimaanisha,,"ulikuwa wapi?Binti yangu kipenzi!

nilikuwa na wasiwasi huenda umepatwa na jambo baya....kabla Mtemi hajamaliza kuingea,,akaja yule mkuu wa vijana wa kikololo..akatoa heshma kwa Mtemi kisha akasema,"tumemkuta kwenye ile nyumba tuliyomuhifadhi yule mtu tuliemkuta kule mstuni....

Mtemi akakasirika sana,,,akajisemea moyoni...yani huyu mwanaharamu anathubutu kumgusa binti yangu....hii ni Fedhea!! akaongea kwa ukali kwa kusema,,"nenda kamfunge kamba...na awekewe ulinzi wa kutosha ili asije akatoroka.....na itakapofika kesho asubuhi Anyongwe hadharani mlaka kufa ....

****************

upande mwingine kule mstuni alionekana Joshi akizipiga hatua za kikakamavu usiku huohuo akisonga mbele zaidi....aliweza kuona vyema kutokana na lile jicho la chui alilolipachika kwenye jicho baada ya kulilinyofoa.. jicho lake....

kwa sasa akawa na uwezo mkubwa wa kuona vizuri hata akiwa mbali....

alizidi kusonga mbele ....alitembea umbali mrefu mpaka pakakukucha.....kwa mbali akasikia kelele za watu wakiimba kwa kilugha akaamua kuelekea upande huo ambao kelele hizo zinapotokea......alipokaribia akaona watu wamekusanyika kumzunguka mtu aliyekuwa amesimama juu ya meza iliyotengenezwa kwa miti...huku kafungwa mikono yake kwa kamba. pia akamuona kijana mmoja wa kikololo akimvika kamba shingoni yule mtu aliyesimama juu ya meza hiyo...Joshi akatabasamu akazipiga hatua za haraka haraka kuwafuata watu hao....

Alionekana yule kijana wa kikololo akiendelea kuifunga kamba balabala juu ya mti ikitokea kwenye shingo ya Makala. watu wa jamii hiyo ya wakololo walikusanyika kushudia tukio hilo huku wakiimba nyimbo kwa lugha yao, Makala akavuliwa nguo zote nakubaki uchi wa mnyama tayari kwa kunyongwa....watu hao waliendelea kuimba kwa lugha yao huku wakipiga kelele wakimsubiri mtemi aje kutoa amri Makala anyongwe..

Ghafla ulionekana upanga mrefu uliorushwa kutokea msituni, upanga huo ulikwenda moja kwa moja mpaka kwenye shingo ya yule kijana aliyekua anamfunga kamba Makala....akandondoka chini na kupoteza maisha papo hapo .,wale watu jamii ya wakololo wakashtuka na kutazama ule upande ambao ule upanga umetokea, wakamuona mtu mrefu mwenye sura ya kutisha akizipiga hatua kuja huo upande walipo .Wakaanza kurusha mikuki huku wengine wakirusha mishale, walirusha mikuki na mishale mingi mfululizo .

Mishale na mikuki iliingia kwenye mwili wa Joshi lakini Joshi aliichomoa na kuitupa chini pia alichomoa mikuki na kuirusha kule walipokuwepo wakololo.,

Wakati huo huo alionekana Makala akihangaika kujinasua kutoka kwenye kitanzi akafanikiwa kukata kamba zilizofungwa mikononi mwake ,akazua kitanzi (kamba iliyokua imefungwa shingoni mwake), akaanza kutimua mbio. Kutokana na mwili wa Makala kua mnene na kitambi ,Makala alipata wakati mgumu kukimbia kwa kasi akajikuta anadondoka mara kwa mara, kwa mbali alionekana Mtemi akiwa amesimama nje ya mlango wake macho yalimtoka akastaajabu kumuona Joshi.

***********

Upande mwingine kule msituni walionekana wale maaskari watano wakichimba shimo ndani ya kichaka hicho kwaajili ya kumzika mwenzao ....walipata wakati mgumu sana kutokana walikuwa hawana vifaa vya kuchimba shimo...wakaamua kuchimba kwa kitumia panga zao fupi..walizokuwa wamezifunga kwa mkanda...kwenye viuno vyao,huku wakiutoa udongo nje ya shimo hilo kwa kutumia mikono yao. iliwachukua masaa manne mfululiizo mpaka wakachimba shimo la urefu wa futi nne(4) walipomaliza wakamzika na kulifukia shimo hilo..wakatoka kwenye kichaka hicho na kuanza kutafuta njia ya kutoka kwenye msitu huo..walizipiga hatua huku macho yao yakitazama kwa tahadhari kubwa..na bunduki zao zikiwa tayari kupambana na chochote kitakachotokea mbele yao.....walitembea umbali mrefu sana..bila kupata uelekeo wa njia ya kutoka mstuni humo...wakaanza kupatwa na njaa....wakajikaza kwa kupoza njaa kwa kunywa maji yaliyokuwemo ndani ya vibuyu vyao vya plastiki....

*******************

Upande mwingine alionekana Michael akiwatafuta wenzake ili ahakikishe kama wapo salama..kwa sababu yeye ndio mkuu wa kikosi hicho,,,wakati huo,Michael alikuwa hajui kuwa kapoteza askari mwingine,,yeye aliamini bado wapo sita......akaendelea kuwatafuta wenzake.....aliwatafuta kwa muda mrefu bila mafanikio yoyote...akaanza kuhisi njaa...akaamua kuwinda angalau mnyama ili aweze kujipatia mlo.

haikuwa kazi ngumu kwa Michael kwa sababu alizaliwa katika familia ya Uwindaji...Baba yake alimfundisha kuwinda kwa kutumia mbinu mbali mbali za uwindaji....akachomoa upanga wake akakata Fito kadhaa (miti mwembamba sana) akachonga miti hiyo..ikatengeneza ncha kali....akachimba mashimo mafupi manne..akaichomeka miti hiyo..akachuna kamba za magome ya miti na kuifunga kwa kuivuta akafunga kamaba hizo kwenye mti mikubwa miwili..kwa kuegesha....akawa tayari katengeneza mtego wa kumnasa muama ueyote atakaye katiza eneo hilo..... akazipiga hatua na kujificha kwenye kichaka.......

**********************

Upande mwingine kule kwenye kijiji cha jamii ya Wakololo,,,hali ilikuwa tete...Joshi aliendelea kufanya mauwaji ya kikatiri bila huruma....

Mtemi....alipo ona watu wake wanauwawa akaingia ndani kufanya jambo fulani......akachukua mshale akaupaka dawa maalum kwenye ncha ya mshale huo... dawa hiyo ni sumu kali sana ya kichawi,,ya mila za Wakololo.... ambayo inauwezo wa kupenya kwenye Mzimu....hata kama Mzimu huo umevaa kiwiliwili cha Binadamu .......akachukua upinde akazipiga hatua akatoka upande wa nje....

Wakati huohuo Joshi aliendelea kuwaangamiza wale vijana wa Jamii ya wakololo...akachukua ule upanga wake kwa kuuchomoa kutoka kwenye shingo ya yule kijana alimchoma kwa kuurusha upanga huo.....akaanza kuwafyeka shingo zao vichwa vikaruka kando....Joshi aliuwa watu wengi kwa muda mchache...

wakololo waliobaki wakaanza kutimua mbio na kutokomea mstuni..baada ya kuona mambo yamekuwa magumu.......

Mtemi alionekana akutafuta sehemu nzuri ya kujificha ili aweze kuufyatua mshale huo kutoka kunako upinde huku akiwa ametulia.......na kulenga shabaha kwa umakini mkubwa ili mshale huo uingie katikati ya kifua cha..Joshi.

akafanikiwa kupata sehemu ya kujificha vyema...akachukua ule upinde akaweka mshale na kuuvuta vyema...akawa tayari kwa kuufyatua....lakini alikuwa akisubiri Joshi ageuke ili afyatue mshale huo kifuani mwake...

Ghafla Joshi akageuka ili kutazama nani kabaki ili amuangamize.........

Mtemi akavuta upinde huo kwa nguvu zake zote akauachia mshale huo............

Joshi akauona mshale huo..akaukwepa na kutimua mbio akatokomea Mstuni...

aliweza kuuona mshale huo kwa haraka kutokana na lile jicho la chui alilolipachika kwenye sehemu ya jicho lake....aligundua kuwa mshale huo ni hatari kwa uhai wake,,ndio sababu iliyomfanya atimue mbio...

Mtemi alikasirika sana...kwa sababu ile dawa aliyoipaka kwenye mshale...haipatikani kwa urahisi..inaweza kumchukua miaka arobaini(40) kuitengeneza dawa hiyo...na inatumika mara moja tu..bila kurudia...vinginevyo itamlazimu utengeneze dawa nyingine.....kwa miaka arobaini(40).

Akaangaza angaza macho yake huku na kule..akasikitika sana kuona viwiliwili vingi vya maiti zisizokuwa na idadi....huku vichwa vimekatwa na kudondoka aridhini..damu nyingi ilitapakaa katika kijiji hicho cha jamii ya Wakololo.

Baada ya lisaa limoja kupita walionekana baadhi ya wakololo waliokimbia kwenda kujificha kwa ajili ya kuokoa maisha yao,,,wakitokea mafichoni kurudi kule kwenye kijiji chao....

*****************

Upande mwingine alionekana Michael bado akiwa amejificha ndani ya kichaka,,akiendelea kusubiri mawindo yake...ule mtego umnase mnyama ili aweze kujipatia kitoweo....alisubiri kwa muda mrefu bila kuona dalili yoyote ya mnyama kuja upande huo! akakata tamaa akaamua kusonga mbele kuwatafuta wenzake...

wakati huo huo walionekana wale maaskari watano wakizipiga hatua za tahadhari huku macho yao yakitaza kwa umakini mkubwa......ghafla wakasikia vishindo vizito vya miguu ikikimbia.....wakaanza kushambulia kwa kufyatua Risasi mfululizo kwenye ule upande ambao vishindo hivyo vilisikika....

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

Naomba Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
61 Jicho la Tatu Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni