Notifications
  • MWALIMU MKUU (1)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA KWANZA“MAMA USIFE MAMA NITAISHI VP NA HII MIMBA MAMA”ilikuwa ni sauti ya mdada aitwae chausiku akimwambia mama ake asifee bado anamtegemea mama ake na mimba yakee“CHAUSIKU MWANANGU NAJUA MIMI NDIYO TEGEMEZI LAKOO NILIPAMBANA NA KILIMO ILI USOMEE LAKINI UMECHEZEA SHIRINGI CHOONI MWANANGU UMESHIKA MIMBA BADO MWAKA MMOJA TUU UMALIZE LAKINI NDO IVYO MWANANGU MIMBA NDO ISHAINGIA SINA BUDI KUKUFUKUZA INGALI UKO MOYONI MWANGU NAKUPENDA MWANANGU CHAUSIKUU ILA…
  • THE NIGHTMARE (9)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TISAILIPOISHIA...“mmenifananisha, mimi ndio kwanza naigia ofisini mida hii.” Aliongea yule afande na kuigia kituoni.“sasa aliyekuwa anatuhoji ni nani kama sio huyo?”Alijikuta anajiuliza mwenyewe swali lililompa utata mkubwa kichwani mwake.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Wakati wakiwa hawajui hili wala lile, walishangaa kuona maaskari wakijazana pale na ambulance ikafika…
  • THE NIGHTMARE (8)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA NANEILIPOISHIA...Walipofika feri, walipewa nahodha mwingine tofauti na yule aliyemuota na boti ilikuwa ndogo tu ya kawaida tofauti na ile aliyoiota.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Sharji alijikuta anapiga makelele baada ya kumuona Balqis akiwa amejaa damu mdomoni huku ametoa makucha yake akimfata kwa nia ya kumdhuru.“AAAAAAAAAAAGH”Sharji alipiga kelele na kukurupuka.…
  • THE NIGHTMARE (7)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA SABAILIPOISHIA...“kha!!!!”Ulikua mshangao mkubwa kwa watu karibu wote baada ya kumuona Sharji akiwa na taulo akitoka chumbani kwa Balqis.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Wengine walicheka na kaka yake alionekana kutoifurahia hali ile.“sasa wewe unatutia wasi wasi bure, si ungesema tu kama unaenda kulala kwa huyu dada?” aliongea kaka yake na kukirudia kile chumba alichompangia…
  • THE NIGHTMARE (6)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA SITAILIPOISHIA...“toa loud speaker bwana.”Aliongea Balqis baada ya Sharji kubonyeza kitufe cha kupaza sauti.“kwanini hutaki nisikie maongezi yenu?” aliongea Karimu kwa sauti ya ukali kidogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“kwani kuna ubaya mimi nikiongea private na mdogo wako?” alijibu Balqis baada ya kuisikia sauti ya Karimu.“hakuna ubaya.” Alijibu Karim kwa sauti ya…
  • THE NIGHTMARE (5)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TANOILIPOISHIA...Alijikuta outomatic akijisemea kwa mshangao baada ya kumuona dada mmoja mrembo mwenye asili ya kiarabu akiingia mule ndani. Hakuvaa ushungi kama alivyowazoea kuwaona waarabu wengi ambao alikutana nao. Huyu alivaa suruali ya jeanz nyeusi na juu akiwa na kikoti chake cheusi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Kati kati kulikua na nguo Fulani nyeupe iliyonakshiwa…
  • THE NIGHTMARE (4)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA NNEILIPOISHIA...Aliongea Khalidi na kuufungua mkanda wa suruali yake na kuanza kumtandika Karim.“unanipiga mimi?...utaona!”IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Aliongea Karim na kuondoka huku analia.*****************************Zilipita wiki mbili bila ya Karim kuonekana nyumbani kwao. Sabra alisikitika kidogo kutokana na kuwapenda sana watoto wake japokuwa huyo mtoto mkubwa hakuwa…
  • Fumanizi la Mchepuko Mwizi😂 | Comedy
    Mume amefuma viatu vya mchepuko wa mke wake mlangoni lakini akakosea kuingia ndani kabla aweke umakini kwenye hivyo viatu mwisho wa siku akaibiwa na vyake😂Hili tukio lazima lichukuchekeshe sana hata kama ulikuwa haujataka kuchekaItazame kisha nipe like na ukinipa maoni kwenye comment nitashukuru sanaUsisahau kubonyeza Subscribe kama haujajiunga na fungua #ChekanaZephiline kupata video zangu zote ambazo zipo mtandaoniNashukuru sana kwa wewe ambaye unanipa nguvu ya kuendelea kuwaletea kazi nzuri…
  • THE NIGHTMARE (3)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TATUILIPOISHIA...Akiwa hewani akikata mawingu kurudi Tanzania, kichwa chake kilikua na mawazo mengi sana juu ya mume wake. Aliikumbuka siku waliyofunga ndoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Pia alijua kwanini mume wake alipendelea kufanya kazi uingereza na yeye kumfungulia ofisi huku huku Tanzania. Hakujua kuwa kazi anayoifanya mumewe ni ile ya kutembea na tajiri mkubwa…
  • THE NIGHTMARE (2)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA PILIILIPOISHIA...Khalidi alishangaa kuitwa na mtu asiyemfahamu. Alitoka na kwenda kumuangalia huyo mtu maana kiukweli hakua na ndugu aishie hapa Dar hata mmoja anayemfahamu..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Alipigwa na butwaa baada ya kumuona Sabra pale.“ahsante mungu.” Aliongea Khalidi baada ya kumuona tu yule binti pale.“pole sasa kaka yangu, nisamahe mie.” Aliongea Sabra kwa…

MUUZA CHIPS (52)

Sehemu ya Hamsini na Mbili, simu ya sarah, zakaria ya chidi, sarah na chidi, ya sarah na, akimvuta chidi na, ashki ashki za, au unataka kuvaa
Mwandishi: MoonBoy

SEHEMU YA HAMSINI NA MBILI
ILIPOISHIA...
"mungu wangu, ivi sijavaa chupi jamani… Ohhh shit kumbe nimeiacha kwa chidi"

Aliongea mama sarah huku akijishika shika mapaja ili kujihakikisha kweli hakuwa na chupi, na nguo alioivaa ilikuwa ni nyepesi mno,.. Tena ni zile zinazoganda mwilini,..

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
"huyu mtoto nae kaenda wapi,… Aahhh yaani mimi nikiwepo tu basi yeye nae anaondoka zake"

Mama alikuwa akilalama juu ya mtoto wake kuondoka ghafla tu,… Grace alinyanyua simu na kumpigia mtoto wake, lakini haikuwa ikipatikana,.. Kama unakumbuka simu ya sarah na chidi zimezimwa..

"huyu mtoto kaenda wapi,… Mbona hata simu haipatikani"

Aliongea mama huyo huku akizidi kujiangalia, yaani anajiona wa tofauti sana mana hajavaa kitu kwa ndani hivyo anajihisi mwepesi mno… Hata kuamka kwenda mahari anaogopa..

Tukija huku kwa Ibrahim akiwa yupo ofisini, tena walikuwa wameshiba kweli yeye na wafanyakazi wake,.. Ibrahim alikuwa akijutia sana kitendo alichomfanyia yule dada kule hotelini,.. Kichwa chake kilikuwa hakiko vizuti hata documents za kazi zikija anashindwa kuzifanyia kazi… Aliona hapo ofisini hapafai tena,… Ibrahim aliamua kuondoka zake na kuwaachia wafanyakazi waendelee na kazi kisha yeye akarudi zake nyumbani.. Dakika 20 mbele, Ibrahim alifika nyumbani kwake

"heeee mume wangu, mbona leo mapema hivyo"

Aliuliza jasmine huku akimkumbatia mke wake

"aahhh kichwa changu hakipo sawa kabisa leo"

"nini shida jamani"

"hakuna lolote… Ila sema nimefanya ujinga sana"

"ujinga gani tena mume wangu"

"nilijikuta namfokea mdada mmoja hivi ambae alishawahi kumseidia chidi, kipindi kile nauza chipsi"

"sasa kwanini umfokeee"

"aahhhh basi tu, nilikunywa kawiski kamenivuruga kichwa basi nikajikuta namfokea lakini ilikuwa katika hali ya kutomjua"

"usijali, nadhani hata yeye atakua keshakusamehe, mana ulikuwa kwenye ulevi"

"Eti ee?…. Afu dada angu yupo wapi"

"yupo chumbani kwake anajisomea"

"kwani kaja na vitabu vyake"

"wala, si nilienda nae library nikamnunulia vitabu alivyotaka"

"ooohhh safi sana"

Basi Ibrahim aliingia chumbani kwa dada yake,… Halima ni mschana mwenye umri wa miaka nane (8) hivyo hata kaka yake Ibrahim anamkumbuka kwa mbali sana mana Ibrahim alitoka nyumbani wakati halima akiwa kama na miaka mitatu hivi au miwili, hivyo sidhani kama anamjua ila kwa kumsikia anamsiki na halima anajua kuwa ana kaka anaeitwa Ibrahim lakini hamjui sura yake, mana Ibrahim katoka muda sana kule kijijini na hakuweza kurudi mpaka leo… Ila Ibrahim yeye anamjua mana si alimuacha kule akiwa mdogo na sura yake bado haijabadirika sana,..

"dada yangu weeee, mambo"

"poa shikamoo"

"marahaba dada angu ujambo"

"sijambo, kwani we ni nani"

Ni kweli halima hamjui kaka yake, yaani aliachwa akiwa na miaka kama miwili hivi, kana kwamba Ibrahim ana zaidi ya miaka mitano mjini bila kurudi nyumbani kwao,..

"unamjua kaka yako Ibrahim"

"aahhhh nilikuwa namsikiaga mama akikutaja wewe, kumbe ndio wewe"

"ndio, mimi ndio kaka yako Ibrahim, niliondoka muda sana kule na ndio mana nimeamua uje usome huku mjini"

"sawa, asante kaka"

"usijali mdogo wangu, jisikie huru kama upo nyumbani"

Sasa tukija huku kwa akina chidi na mpenzi wake sarah, vilio vya mapenzi ndivyo vilivyotawala katika chumba hicho, maskini sarah alishawahi kuwa na mwanaume kitambo sana, na hapa katikati hakuwa na mwanaume bali alikuwa ni yeye na rafiki yake miriam, hivyo wangeliendelea na tabia hio basi hata wanaume wasinge watamani,… Sasa sarah leo kakutana na ashki ashki za kiume kuacha zile za kike walizokuwa wakifanyiana na miriam,..

Sarah alikuwa ni mtu wa kujikunja kila mara, yapata robo saa sasa macho ya sarah hayafunguki,.. Ulimi wa chidi ndio chanzo cha miguno katika kinywa cha sarah,… Chidi aliweza kuutumia ulimi wake kuupitisha katika shingo ya sarah na wakati huo huo mkono wake ukiwa kifuani ukiendelea kuzifikicha chuchu za mschana huyo, chidi aliona boxer inamuumiza, aliivua na kubaki kama alivyozaliwa, Sarah alijikuta tu anamkumbatia chidi bila sababu,.. Nae alianza kujibu mapigo kwa kumnyonya chidi katika maeneo yake yenye ashki ashki za mapenzi,.. Zakaria ya chidi ilikuwa ikimgusa sarah huku sarah akizidi kusisimkwa kwa kuguswa na zakaria ya chidi,… Sasa chidi akiwa anataka kukaa ili sarah awe kwa juu, ghafla alihisi ubaridi katika shuka, kana kwamba kulimwagiwa maji… Aaahhhhhhhh chidi alipogusa tu alijua sarah tayari alishaviachia vikadhaa,.. Sarah alipoona chidi kajua, alijiskia aibu mana kashikwa mpaka mpaka kapizi kimoja kilicholoanisha shuka la chidi,..

"usijali ntalifua mwenyewe kabla sijaondoka"

Aliongea sarah huku akiunyemelea mtarimbo wa chidi,… Jicho la sarah lilikuwa kama la bibi kizee, mana halikuwa likiamka kama ilivyo kawaida afu mbaya zaidi lilikuwa linamwita chidi, likimaanisha kuwa, yupo tayari kuingiliwa, mtoto wa kitanga alilijua hilo,… Hivyo hakupoteza muda, alimsukuma sarah, na kulala chali, sarah bila aibu wala haya alimuachia chidi ale atakavyo, na wala hakuwa akijibana kama mwanzo,.. Alimwachia chidi akitafune kitumbua hicho kilichokuwa tayari kimeshalainika,..

Chidi haamini kama leo anakula kitoto cha kitajiri kama hicho,…

"unaogopa nini baby wangu,… Au unataka kuvaa, kuv, kuv, kuvaa kondom??.. Kama unataka kondom mimi staki, nataka niujue utamu wa zakaria yako,… Chidiiii, na hivi nilivyobinuka bado tu hushawishiki"

Aliongea sarah huku akimvuta chidi na kujihukumu mwenyewe…

"haya,.. Ssu… Suu…. Ssssu… Sukuma basii iii… Iin… Iig….iiiing…iingie, ila sio… Sio… Sioo. Ssiii. Sio sanaaaaa"

Kwa mara ya kwanza toka sarah na chidi wakutane, japo walipoteana takribani miezi 6 na zaidi, wakakutana juzi tu, Sasa) eo kwa mara ya kwanza wanaingia kitandani, na muda si mrefu mama yake katoka hapo hapo kitandani,… Maskini ya mungu yeye na mama yake wanachangia kitanda kimoja,… Sarah alikuwa ni mschana mzuri sana na umbo lake ni zuri kama mama take, yaani nyoka huzaa nyoka tu, sema chidi hajui kama yule mama na huyu sarah ni kitu na mtoto wake,…

"unaogopa nini baby wangu,… Au unataka kuvaa, kuv, kuv, kuvaa kondom??.. Kama unataka kondom mimi staki, nataka niujue utamu wa zakaria yako,… Chidiiii, na hivi nilivyobinuka bado tu hushawishiki"

Aliongea sarah huku akimvuta chidi na kujihukumu mwenyewe…

"haya,.. Ssu… Suu…. Ssssu… Sukuma basii iii… Iin… Iig….iiiing…iingie, ila sio… Sio… Sioo. Ssiii. Sio sanaaaaa"

Sarah alianza kigugumizi baada ya zakaria ya chidi kuingia kidogo,…

"aaaiiiiiiiiiii"

Sarah alipiga kelele huku akiichomoa zakaria ya chidi kwanguvu

"unaniumiza chidi"

Sarah alianza kulia huku akijiangalia

"kwani una bikra"

"akuuuu, sema ni muda mrefu sijafanya mapenzi so maumivu ninayosikia, hayana tofauti na Bikra"

Sarah alikuwa anajiangalia kana kwamba labda anatoka damu,… Chidi alijua yu hapa akimfuata sarah basi hatokula tunda lake,… Chidi alianza kumbembeleza taaratibu kabisa na sarah akalainika,..

"aaaaaaaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii… Umeniumiza chidi uuuuwiiii jamani chidi huna hata huruma baby"

Sarah aliruka tena alikuwa anatoka damu sehemu hizo,…

"pole"

Kwa kawaida mwanamke mwenye bikra ikitolewa hua hatamani tena kurudia tendo, hivyo raundi hio hio iliwatosha akina sarah na chidi… Sarah hakuwa na bikra ila alifanya mapenzi miaka kadhaa hivi wakiwa wanamalizia mwaka wao wa mwisho chuo,.. Hivyo ana miaka kama mitatu au miwili hajaguswa, hivyo ni lazima kitumbua kirudi katika hali yake ila ule uzi wa bikra hauwezi kurudi tena ila kubana itabana vizuri,…

Chidi alimchukuwa sarah na kwenda kumuosha bafuni kisha wakarudi chumbani kwao,..

"mi siendi nyumbani nalala hapa hapa"

"we si utatafutwa na wazazi wako"

"nitajua cha kuongea, mana sintoweza hata kuendesha gari"

"sarah jamani utaniletea matatizo eti"

"nimesema siendi nyumbani"

"basi asubuhi utanipa kimoja basi"

"wewe tu na dudu yako mi nipo"

BAADA YA SIKU HIO KUPITA

Na leo ni siku nyingine tena chidi akiwa kalala na mpenzi wake ambae ni sarah,.. Ilikuwa ni mida ya saa nne hivi asubuhi,.. Ghafla simu ya sarah iliita, na hio ndio iliowashitua akina sarah, lakini wakwanza kuamka alikuwa ni chidi, sasa chidi akataka kupokea ile simu,… Lakini kabla hajataka kuipokea simu ya sarah, mara na yakwake ikaita,… Kuangalia jina alikuwa ni shemeji yake,.. Aliachana na simu ya sarah na sarah alishaamka na kuchukuwa simu yake… Sarah alipigiwa na mama yake

"haloo mama, shkamoo"

"we mbwa, umekuwa siku izi eee"

"mamaaaaa…. Kwani kuna nini"

"nqkuuliza umekuwa sasa we mbwa… Umeshajua vitu vya kiume si ndio… Hebu niambie kwanini hujarudi nyumbani"

"mama… Mimi nipo kwa miri"

"upo wapi"

"nipo huku kwa Mamdogo Agnes"

"mschiuuuuuu (msunyo) sasa kwanini hujaniambia, napiga simu haipatikani"

"nisamehe mamy wangu"

"haya.. Njoo kazini sasa"

"sawa mama"

Wakati huo chidi hakupokea simu ya shemeji yake, ikawa inaita tuuu

"chidi si upokee hio simu jamani"

"aahhh iache kwanza"

Sasa shemeji yake kapiga mpaka kachoka,… Na simu iliofwata ilikuwa ni ya mama sarah,

Simu hio chidi hakuipuuzia, aliipokea mana ndio anaemlisha mjini hivyo hatakiwi kumchunia,..

"haloo mamy shkamoo"

"shkamoo mwenyewe"

"kwanini sasa mamy"

"tuachane na hayo,.. Mambo vp baby wangu"

"safi tu sjui wewe"

"mi mzima, ndio naenda kazini ila leo nataka nikupeleke kazini kwako"

"eti eee, safi sana, sasa tukutane saa ngapi"

"saa saba"

"sawa mamy nipo tayari kwenda"

"ok bai bai"

"ok poa"

Chidi alikata simu lakini kabla hajaitupa simu mezani, iliita tena, na safari hiii alikuwa ni kaka yake na chidi, yaani kuona tu hio namba ndio kwanza kaitupia mezani kwa hasira, yaani kila akikumbuka maisha ya zamani japo kaomba msamaha lakini bado anaona kama yanaendelea,…

"hebu pokea hio simu chidi"

"hapana"

"ok iwe sailensi basi"

Chidi alifanya hivyo kisha akawa anaenda bafuni kuoga,..

"sasa unaenda wapi chidi"

"naenda kuoga"

"jana ulisemaje"

"aahhhh nimesahau, kwani nilikuambia nini"

"si ulisema utanipa kimoja cha asubuhi asubihi"

Chidi kuskia hivyo alirudi mbio mpaka kitandani,.. Denda lilianza kutawala baina yao wawili, chidi alikuwa akichomwa na chuchu za sarah, huku zakaria ikiwa inaelekea sehemu husika,.. Sehemu ya sarah sasa imeshaanza kuzoea mana ile jana chidi aliingiza yote na ndio mana sarah alitokwa na damu kama ana bikra, sasa hivi sarah anaisikilizia tu kwa mbalii na vile chidi kajaaliwa katika sehemu hio, na licha ya kujaaliwa pia anajua kuitumia vizuri, mana kuna mijanaume mingine imejaaliwa lakini hawawezi kutumia umbile hilo,… Maskini sarah alikuwa akilia kwa utamu aliokuwa anaupa mana jana yalikuwa ni maumivu kwasababu anaanza,…. Lakini chidi hakuitupia yote, ila mtoto wa kike kilio hakimuishi…

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
50 Muuza Chips Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni